acha upuuz ww lete habar kamili, sio mambo ya inasemekana, fungukachanzo?? acha kuzusha wasomi hawatakiwi kuzusha...soma hapa...https://www.jamiiforums.com/mahusia...a-mwaka-wa-kwanza-kisa-majibu-ya-daktari.html
dogo HIV/AIDS positive,baada ya kufanya check-up,dah akaona hawez kuendelea na elimu na ngoma!
Inasemekana "mwanafunzi wa first year baada ya kuchukua boom lake akatokomea town kuzitumbua(akalewa chakali), akachukua malaya.baadae ya kumaliza kazi yao yule dada akamwambia kuwa yy ameathilika.basi yule kaka akachukua uamuzi wakujiua"......
Mkuu, kama wewe haufanyiwi medical check up, hiyo haizuii wengine pia kufanyiwa. Sasa unaambiwa alifanyiwa na akapewa majibu hayo, unabisha nini? Watu wengine mawazo mgando tu.DSM huwa hawafanyi medical check up, wanakula hela hiyo ya chck up afu wanafunzi wanaekewa its all clear..
Mkuu, kama wewe haufanyiwi medical check up, hiyo haizuii wengine pia kufanyiwa. Sasa unaambiwa alifanyiwa na akapewa majibu hayo, unabisha nini? Watu wengine mawazo mgando tu.
Soma hiyo habari ya kipolisi kwanza. Nimekumegea kipande hiki:... Again ni quote vizuri kijana sikatai this tale and all nnachouliza ni hizo checkup zimefanywa wapi?
One of the documents found in the room showed that Lugemalila underwent a medical examination at the UDSM Dispensary on October 7, and the next day he received results showing that he was HIV-positive.
Soma hiyo habari ya kipolisi kwanza. Nimekumegea kipande hiki:
Njoo na hoja nyingine ...