Jana usiku saa 2:31 kumetokea tetemeko kubwa la ardhi ambalo lilidumu kwa sekunde kadhaa. Mtikisiko mkubwa ulisikika ukitokea mashariki kuelekea Milima ya Amani
Nawasilisha
Zamani babu yangu aliwahi kunijuza kuwa ujio wa tetemeko ni ishara ya kuwepo kwa janga , labda ndo maana wiki hii tumewapoteza wapendwa wetu wengi kwa ajali za barabarani......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.