Testing KLH Live!

sasa hivi iko live. Ukiingia KLHN chini ya eneo la video inaposema "Listen Live" na chagua player yako. Sasa hivi hata hivyo tuko kwenye majaribio tu na baadaye kesho tutatoweka hewani kwa muda kufanya mabadiliko ya hapa na pale. Kama nilivyowaahidi hatutarajii sana kuwa hewani 24 hours... ingawa kwa siku hizi chache tutakuwa tunafanya hivyo.
 
Mwanakijiji, bravo! Haya matangazo yamenikeep busy sana hapa nilipo. Nimekuwa nikijipa raha na miziki ya nyumbani asilia!

Na ile interview ya Mkapa na mwandishi wa kizungu jana usiku (kama saa sita usiku huku ulaya) ilinisisimua sana jinsi Mkapa alivyo mwongo!!!!!! Yaani yeye ni mkulima wa korosho!!!!!Halafu inaonyesha anawadharau sana wenzie wote except Mwalimu Nyerere! Mwinyi ingawa hamtaji, lakini impliedly inaonekana anamuona kama alikuwa ha exist! Pia haonekani kumwona JK kama yupo! Jamaa anajiona ni babu kubwa sana! Swali gumu, kwa nini hataki kuhojiwa na waandishi wanaomfahamu vizuri! Hivi mmewahi kumwalika klhnews akakataa! Mjaribuni next time akija USA, anaweza kubugi step akadahani ni redio ya Kimarekani! Halafu aone moto wake!

Ahsante sana kwa kuwa creative and hard working!
 
tutatoweka hewani kwa muda kidogo tukiendelea kuandaa mitambo yetu ya kisasa kabisa. Siku ya J'tano tutakamilisha kufunga studio yetu ndogo maeneo ya Toledo, OH kama saa moja toka Detroit (gharama za kukodi ni chini kwa kiasi kikubwa). Tuko pamoja.
 
Geeque... asante mzee tunafuata nyayo tu.. nyinyi ndio walimu. Naendelea kushukuru for all your help and support mazee.
 
tutatoweka hewani kwa muda kidogo tukiendelea kuandaa mitambo yetu ya kisasa kabisa. Siku ya J'tano tutakamilisha kufunga studio yetu ndogo maeneo ya Toledo, OH kama saa moja toka Detroit (gharama za kukodi ni chini kwa kiasi kikubwa). Tuko pamoja.

Dang!! Mwanakijiji doing big things....super big up....
 
siku hizi mwanakijiji kaamua kuweka madevu na sasa amezeeeka amekuwa na upara.

heko mzee wa busara
 
Geeque... asante mzee tunafuata nyayo tu.. nyinyi ndio walimu. Naendelea kushukuru for all your help and support mazee.

Mazee na wewe umekuwa changamoto kubwa sana kwangu na kwa Bongo Radio, mambo mengi hasa katika interviews za viongozi mbalimbali tuliwezesha kutokana na mchango wako mkubwa, ahsante sana na tuzidi kuendeleza hili gurudumu.
 
mkuu mimi sauti mbona kwangu imepotea kulikoni.

sina nkisikiacho abaa


asante kwa taarifa... naona mitambo haiko hewani tena... kama nilivyosema bado tunafanya majaribio... sasa hivi kuna mafundi wamekuja kufunga funga zana mpya.. na kwa vile bado narusha kutoka nyumbani basi mambo yanaingiliana. Muda si mrefu tutaweza kuwa na kitu kizuri.
 
asante mkuu mwenye upara wa kinoo.

kwa kweli hio alavator umeikota wapi?


maana sipati picha
 
Asante sana Jobo... tunajaribu kuona kama watu wa Bongo wanatusikia lakini hadi hivi sasa sijapata hata mtu mmoja so I'll probably have to change some few things kwani lengo letu hasa ni kuifikia Tanzania.
 
Asante sana Jobo... tunajaribu kuona kama watu wa Bongo wanatusikia lakini hadi hivi sasa sijapata hata mtu mmoja so I'll probably have to change some few things kwani lengo letu hasa ni kuifikia Tanzania.

Well nilikuwa nikiisikiliza kutokea Bongo ila naona haiko hewani tena. Nilisikiliza kwa muda kipindi cha bunge na ikakatika jana hadi leo. It is an informative radio, so keep it on man.
 
Ilikuwa inasikikaje huko na unatumia mtandao wa aina gani kusikiliza (wireless, broadband.. or dial up)?
 
Back
Top Bottom