Kilongwe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 423
- 115
Wakubwa kama ambavyo tuliwahi kuzungumza hapo awali juu ya kuwepo kwa website ambayo itatujumuisha ama kutukutanisha watu wa IT,so kuna hii kazi ambayo ndio inaelekea ukingoni.
Kwa leo nadhani kuna wadau watapata speed problems kwakuwa kuna mushkeri kwenye VPS so nimeamua kuiweka kwenye moja ya computer kwakuwa niliahidi leo watu wataweza kujionea hii kazi so inabidi nitekeleze ahadi kivyovyote,Lengo ni kuwana kijiwe cha maana.
Kumbuka maoni,ushauri na michango ya knowledge inahitajika kwani hakuna mtu aliye perfect kwa 100%.Nashukuru michango toka kwa member kibao ambao wao wamejitolea kuwa Admins na kutoa ushirikiano wa kufamtu.
Pia tunahitaji Admins wa kila forum kuanzia Database hado programming,IT certificates hadi Kazi kwani hii ni forum yetu na sio yangu hivyo kwa mtu mwenye mchango anaweza akani PM(unaweza tumia PM ya forum yetu kwani sasa inafanya kazi sawia tu ama ukatumia mail kwenda kwa robot08@qq.com.
Kuanzia kesho tatizo la speed litakuwa limesolviwa kwani ninatarajia kuwa na VPS inayojitegemea only kwa ajili ya hii forum.Pia mchango wenu juu ya jina la forum ni muhimu,mimi nimefikiria AfroIT,je ninyi munaonaje wakuu?
Gonga hapa
penye nia pana njia wakuu.
Kwa leo nadhani kuna wadau watapata speed problems kwakuwa kuna mushkeri kwenye VPS so nimeamua kuiweka kwenye moja ya computer kwakuwa niliahidi leo watu wataweza kujionea hii kazi so inabidi nitekeleze ahadi kivyovyote,Lengo ni kuwana kijiwe cha maana.
Kumbuka maoni,ushauri na michango ya knowledge inahitajika kwani hakuna mtu aliye perfect kwa 100%.Nashukuru michango toka kwa member kibao ambao wao wamejitolea kuwa Admins na kutoa ushirikiano wa kufamtu.
Pia tunahitaji Admins wa kila forum kuanzia Database hado programming,IT certificates hadi Kazi kwani hii ni forum yetu na sio yangu hivyo kwa mtu mwenye mchango anaweza akani PM(unaweza tumia PM ya forum yetu kwani sasa inafanya kazi sawia tu ama ukatumia mail kwenda kwa robot08@qq.com.
Kuanzia kesho tatizo la speed litakuwa limesolviwa kwani ninatarajia kuwa na VPS inayojitegemea only kwa ajili ya hii forum.Pia mchango wenu juu ya jina la forum ni muhimu,mimi nimefikiria AfroIT,je ninyi munaonaje wakuu?
Gonga hapa
penye nia pana njia wakuu.
Last edited: