Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
tuangalie na tuhukumu yaliyomo ktk ripoti. Theophil ni sehemu ya wajumbe na labda alikuwa na msimmamo wake binafsi ila alielemewa na wajumbe wengine
mpeni heshima yake.
.
Paka ana heshima yake ya kuitwa 'paka' vinginevyo ukimwita kuku utakuwa umemvunjia heshima. Msaliti ni jina la sifa stahiki kwa Theo.
.