TENSION>>Umefumaniwa guest house na mke wa bosi wako,unamwomba msamaha bosi,hakujibu kitu,anakuangalia tu halafu anarudisha macho kwenye screen ya computer yake,anaendelea na kazi.
TENSION>>Ume-overtake lori,kabla hujalimaliza,mbele lori jingine linaibuka,ukijaribu breki zimekatika,kulia na kushoto kuna mwamba.
Tension......tumbo linauma, umeva nguo nyeupe. Unaachia ushuzi na kumbe umejiharishia (tensioN)
....umelala na mkeo, mara unaota na kumtaja binti wa jirani yako.
....mpo wawili tu na mrembo mara harufu kali ya ushuzi inajitokeza
TENSION>>Umepiga chafya kwa nguvu,ukajamba mbele ya watoto.