Juaangavu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2009
- 935
- 132
Nini huwa kinawasibu baadhi ya watu mara tu baada ya kutoka ktk pembe 4- class!
Mtu anaongea kitu unajiuliza kama kweli aliingia darasani au la!
Jamani, tumbo lisizidi uwezo na kazi ya ubungo.
Je, tunahitaji Mnajimu kujua yanayoendelea hapa Nchini!
Mtu anaongea kitu unajiuliza kama kweli aliingia darasani au la!
Jamani, tumbo lisizidi uwezo na kazi ya ubungo.
Je, tunahitaji Mnajimu kujua yanayoendelea hapa Nchini!