Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Ngoja mie nipite tuu maana siasa si fani yangu na wala sijui cha ku-comment hapa!
usipite mkuu subiri ukaguliwe kwanza
Ngoja mie nipite tuu maana siasa si fani yangu na wala sijui cha ku-comment hapa!
Ngoja nipite kimya nisije nikaharibu siku yangu kwa kauli za hivi vizee
Its true umuri umekwenda sana hana jipya anatakiwe apumzike YUPO KWA SABABU YA PETE ZA MAJINI
Ushirikina una mwsho 2015 wachawi wote mtatupisha
Tendwa na pete ya majini
mbona jasho linamtoka??? hajiamini au?? halafu!!! huo ni mwanya au pengo
Msajili wa vyama vya siasa nchini John Tendwa amesema sasa amechoka kusikia mauaji kwenye mikutano ya kisiasa ya CDM na atatumia rungu lake kufutia usajili chama chochote kitakachoshindwa kutunza amani ya nchi.Tendwa amewaambia waandishi wa habari hatishiki na chama chochote kuwa na wabunge kwani sheria inamruhusu kufuta chama hata kama kina wabunge 100.
Katika hali ya kushangaza Tendwa ameshauri vyama visubiri nyajati za uchaguzi ndipo vifanye mikutano ya kisiasa.Hata hivyo amekiri sheria inaruhusu vyama kufanya mikutano na maandamano wakati wowote.
Source:Habari Radio Tumaini.
Itakua poa sana.
Tena nashangaa kwanini hakutoa tamko hili tangu mwaka jana.
Msajili wa vyama vya siasa nchini John Tendwa amesema sasa amechoka kusikia mauaji kwenye mikutano ya kisiasa ya CDM na atatumia rungu lake kufutia usajili chama chochote kitakachoshindwa kutunza amani ya nchi.Tendwa amewaambia waandishi wa habari hatishiki na chama chochote kuwa na wabunge kwani sheria inamruhusu kufuta chama hata kama kina wabunge 100.
Katika hali ya kushangaza Tendwa ameshauri vyama visubiri nyajati za uchaguzi ndipo vifanye mikutano ya kisiasa.Hata hivyo amekiri sheria inaruhusu vyama kufanya mikutano na maandamano wakati wowote.
Source:Habari Radio Tumaini.
Ngoja mie nipite tuu maana siasa si fani yangu na wala sijui cha ku-comment hapa!