PMNBuko
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 967
- 154
Tendwa amekosa jambo la kuwaambia watanzania. Anaona kuisema CCM ni chama chake, atapoteza ajira na mafao yote. Anaamua kuisema CDM ambayo haina nguvu ya Dola lakini ina nguvu ya umma. I tell u, ajaribu aone nguvu ya umma itakavyovamia Ofisi zake na kumtoa kafara yeye kabla hata wabunge wa CDM hawajatoka nje kupisha shughuli za Bunge kwa kukosa uhalali wa kisheria kwa kushiriki Bungeni kwakuwa hawatakuwa wabunge tena!