Tendwa pamoja na kuwa na macho ukuliona hili.

politiki

JF-Expert Member
Sep 2, 2010
2,376
1,507
Rushwa ambayo ilikuwa ikigawiwa nje nje wakati wa uchaguzi wa kumtafuta mwakilishi wa CCM na kuripotiwa na magazeti karibu yote hapa nchini wakiwemo bahadhi ya wagombea ndani ya CCM kutishia kuiama CCM kwa sababu ya kupinga Rushwa iliyotawala ndani ya chama hiki. Wanachama wenye mapenzi mema na chama chao cha CCM walisema waziwazi kuwa swala la rushwa lisipotazamwa ndani ya chama chao basi chama hiko kinaweza kufa Yote haya Tendwa pamoja na macho makubwa na ukiongezea na miwani kubwa unazofaa ukuyaona. jamani kweli kupenda ni chongo hata miwani hazisaidii.
 
kabla ya kufka kwa TENDWA waulize kwanza KAMATI YA MAADILI YA CHAMA HUSIKA..hata hvo chama hcho kimezoea ishu hzo na kwakua TENDWA ni m1 wa chama hcho haoni tatzo..
 
Msisahau msemo usemao Nyani haoni kundule, ndiye huyu Mzee John Tendwa.
Tangu awepo kwenye wadhifa wake hajawahi kuona chama chake kama kinafanya isivyo, kumbuka baada ya uchaguzi 2010 ofisi yake ilisema ccm ilikiuka maadili kumaliza mikutano ya kampeini baada ya muda unaotakiwa lakini waliona hawana jinsi ya kuwasema wakati huo.
Ni mzee hatari sana, lakini ipo siku mkono wa sheria utakuwa juu yao, waache watunyanyase muda huu ambao wanaona CCM ni kila kitu.
 
Tendwa afikishwe mahakamani jamani.
hamna wanasheria?MIMI PAMOJA NA KUTOKUSOMA SHERIA HAPO NAONA JINAI..
 
Mijingamijinga kama hili siku ya ukombozi ndio watu wanaikodia Punda kihongwe ayaingilie mimasaburi yao. Inahudhi!
 
Muulizeni Tendwa Leo Kapitia "Kimara Korogwe" Labda akipitia kule anakuwa na fresh minded!!
 
Rushwa inapofusha macho, hiki kizee ni kila rushwa hivyo kimeshapofuka,natamani ni kiwashe moto.
 
Back
Top Bottom