Rushwa ambayo ilikuwa ikigawiwa nje nje wakati wa uchaguzi wa kumtafuta mwakilishi wa CCM na kuripotiwa na magazeti karibu yote hapa nchini wakiwemo bahadhi ya wagombea ndani ya CCM kutishia kuiama CCM kwa sababu ya kupinga Rushwa iliyotawala ndani ya chama hiki. Wanachama wenye mapenzi mema na chama chao cha CCM walisema waziwazi kuwa swala la rushwa lisipotazamwa ndani ya chama chao basi chama hiko kinaweza kufa Yote haya Tendwa pamoja na macho makubwa na ukiongezea na miwani kubwa unazofaa ukuyaona. jamani kweli kupenda ni chongo hata miwani hazisaidii.