Wachambuzi wa mambo ya kisiasa hapa Tanzania wanasubiri kuona kama Tendwa ataamua kujiwekea historia katika siasa za Tanzania kutokana na maamuzi atakayoyafanya kuhusu pingamizi alilowekewa Kikwete. Je ataweka kando itikadi na kuamua kufuata haki na uadilifu kwa kutimiza malengo na matakwa ya sheria ya uchaguzi?
Hebu tuangalie shtaka analoshitakiwa nalo Kikwete, la kutoa mishahara mipya kama njia ya kushawishi wafanyakazi wampe kura, Je linastahili kuitwa Rushwa? Nianze kwa kuangalia mifano ya nyuma ya nyongeza za mishahara, mojamoja kwa moja natazama nyongeza waliyoongezewa madaktari wakati walipogoma miaka michache iliyopita. Serikali kwa kusukumwa na athari za mgomo wa madaktari iliongeza mishahara nahisi bila kibali cha bunge, na hapa wanasiasa hawakuinuka kudai amevunja sheria. Tendwa anaweza kutumia mfano huu katika kufanya maamuzi, hata hivyo akifanya hivyo atakuwa amecheza karata vibaya. Ameongeza mishahara ya wafanyakazi pasipo kuwa na any emergency kwani wafanyakazi walishakubali kuwa serikali imegoma kuongeza mishahara. Zaidi ni kuwa serikali ilikuwa na muda mwingi tu wa ama kuwabembeleza wafanyakazi kama ambavyo Kikwete anafanya au hata kutoa nyongeza. Hii ina maana moja tu, Kikwete kaongeza mishahara ili kuwashawishi wafanyakazi wampe kura, There is no any other explanation. Hamna emergecy iliyokuwepo, hakuna mgomo wa wafanyakazi, kwa nini unaongeza mshahara wakati ulishakataa?
Tendwa anayo nafasi ya kujiweka katika historia kwa kuamua kuandika historia kama akiamua.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,
Hebu tuangalie shtaka analoshitakiwa nalo Kikwete, la kutoa mishahara mipya kama njia ya kushawishi wafanyakazi wampe kura, Je linastahili kuitwa Rushwa? Nianze kwa kuangalia mifano ya nyuma ya nyongeza za mishahara, mojamoja kwa moja natazama nyongeza waliyoongezewa madaktari wakati walipogoma miaka michache iliyopita. Serikali kwa kusukumwa na athari za mgomo wa madaktari iliongeza mishahara nahisi bila kibali cha bunge, na hapa wanasiasa hawakuinuka kudai amevunja sheria. Tendwa anaweza kutumia mfano huu katika kufanya maamuzi, hata hivyo akifanya hivyo atakuwa amecheza karata vibaya. Ameongeza mishahara ya wafanyakazi pasipo kuwa na any emergency kwani wafanyakazi walishakubali kuwa serikali imegoma kuongeza mishahara. Zaidi ni kuwa serikali ilikuwa na muda mwingi tu wa ama kuwabembeleza wafanyakazi kama ambavyo Kikwete anafanya au hata kutoa nyongeza. Hii ina maana moja tu, Kikwete kaongeza mishahara ili kuwashawishi wafanyakazi wampe kura, There is no any other explanation. Hamna emergecy iliyokuwepo, hakuna mgomo wa wafanyakazi, kwa nini unaongeza mshahara wakati ulishakataa?
Tendwa anayo nafasi ya kujiweka katika historia kwa kuamua kuandika historia kama akiamua.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,