mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Hamjui Dogo,ngoja aje Amfyatukie aone ohooo,wazee wengine wamekaa mbali yeye kajisogeza mtaskia
Na sisi tutampiga marufuku kuzungumzia mambo ya vyama vya siasa!
Hawa wazee wetu upeo wao wa kufikiri umefikia kikomo wanaanzisha jambo kimzaha mzaha hawaangalii madhara yake, hapa wao wamelenga mwisho wa kampeni nani afaidike hawaangalii baada ya kampeni itakuwaje, ni sawa na issue ya washili alikuwa anaona kama kitu kidogo ndio maana akaropoka vile.Tendwa anatakiwa ajue kauli zake ni petroli kwenye moto so bora akae kimya
Mkapa unemuua BABA WA TAIFA!! Dhambi hii haita kuacha itakutafuna mpaka unaingia kaburini. TAIFA ZIMA LINAKULAANI KWA KUMUUA MPENDWA WETU.
Vincent anachotakiwa aseme neno moja tu 'asituingilie' haya ni mambo ya kifamilia Tendwa atanyamaza kwa aibu kama alivyonyamaza mambo ya wazee wa kishili.Natamani mimi ningekuwa Vincent Nyerere Tendwa angeona nyekundu tupu.
Amkanye BWM kuropoka hovyo, ameshushuliwa sasa wanatafuta pakumhifadhi dogo kaweka wazi kifo cha MWL kina mkono wa mtu na BWM anahusika kazi kweli kweli
Kwani nafasi yake ni ipi hiyo unayoizungumzia madam?This guy anaugonjwa gani? Napenda sana majukwaa,napendekeza aachie nafasi yake aje tupambane jukwaani.
amepiga marufuku au amewaomba? Anamamlaka ya kumzuia mtu kusema anachoamini?(kikatiba na kisheria) na je huku si kuingilia uhuru wa kutoa maoni? This country bwana sijui who z who....
Kwani nafasi yake ni ipi hiyo unayoizungumzia madam?
Dada yangu Josephine hujui Ofisi ya Msajili wa vyama ni chama cha 20 cha siasa kilichosajiliwa nchini na mwenyekiti wake ni John Tendwa? Kwa hiyo mnapoingia kwenye uchaguzi mjue mnapambana na Invisible political party-IPP.This guy anaugonjwa gani? anapenda sana majukwaa,napendekeza aachie nafasi yake aje tupambane jukwaani.
This guy anaugonjwa gani? anapenda sana majukwaa,napendekeza aachie nafasi yake aje tupambane jukwaani.
Tendwa najua unapita hapa,pick this from me,mpaka Mkapa atakapoomba msamaha adharani tutaacha kuzungumza,mwambie asiangaike kuomba suluuu kwa kumpigia mtu simu.,
Mwisho tunakaribia kukuchoka kwa namna unavyotumia uzee wako,it is better you stop talking about politics now,unakumbuka juu ya waashiri,unaona walivyokuumbua sasa endelea,ngoja tuingie kazini.
Nitarudi kujua umenijibu nini.
Tulipata Uhuru wa bendera toka kwa Mwingereza kisha tukajiingiza katika ukoloni na utumwa mpya chini ya wakoloni weusi wa Chama kimoja.
Tendwa hayuko huru ni mtumwa, kiti anachokalia kina seng'enge na mbigili, mdomoni wanamtia pilipili bila yeye kupenda.
Nadhani anajaribu ku control watu wanachosema katika kampeni za uchaguzi.
Hajui kwamba ni haki ya kila raia kusema kuongea na kutoa maoni yake???
Kwa jitu zima, limesoma Kichwa kikubwa na kipara juu, miguu mifupi mapaja makubwa, tumbo kubwa, mikono minene na mifupu na mashavu kama mimba ya mbuzi kuamua kusema Vicent Nyerere si wa familia ya mwalimu huku likijua wazi Vicent amekulia msasani kwa baba yake mkubwa Julius, ni ukosefu hekima na mwenendo wa kimaadili.
Vicent ni kijana mdogo sana, Mkapa ni Kishaibu kinene,kijizi na kiongo cha kutupwa na sasa kina tuhuma za kuua. Ni busara ya wapi ilikifanya kishaibu hiki kianzishe mazungumzo yasiyo na maadili?
Mijitu mingine bwana! Inaheshimiwa lakini yenyewe haijiheshimu hata kidogo.
Ooh! Kuna siku jitu litachojoa kaptula hadharani ku prove jambo.