amepiga marufuku au amewaomba? Anamamlaka ya kumzuia mtu kusema anachoamini?(kikatiba na kisheria) na je huku si kuingilia uhuru wa kutoa maoni? This country bwana sijui who z who....
Waliopigwa stop ni hao wawili tu au watu wote hata sisi humu JF, halafu ni kwenye kampeni tu au hata nje ya kampeni maana ninavyojua yeye ana dili na vyama vya siasa pekee, sidhani kama ana mamlaka hayo ingekuwa mahakama sawa lakini hata yenyewe in mipaka yake.
Tendwa anatakiwa awataje wauaji alioongea nao nakusema watamuua Mh. Lema pindi afikapo Arumeru ili wachukuliwe hatua za kisheria kwa kupanga mauaji, na pia kama kiongozi mlezi wa vyama vya siasa baada ya kupata habari hizo na yeye mwenyewe kuzitoa, amechukua hatua gani wakati akiona kabisa kuna uvunjifu wa amani unaotaka kutokea?
Sasa hivi ndio anazinduka tangu yale mapombe makali aliyokuwa anabwia kule AR.
Kubabako zako tendwa kweli ni Disaster hapa nchini, Mkapa aliyatibua mwenyewe sasa ya nn we unamkingia kifua, kwani yale ya kusema eti wazee wa kimila hawamtaki lema haikijenga chuki? Kufumbia macho propaganda za udini igunga yote ulikuwa huyaoni? Sasa mwache mkapa anywe aliyoyakoroga.
Natamani mimi ningekuwa Vincent Nyerere Tendwa angeona nyekundu tupu.
Amkanye BWM kuropoka hovyo, ameshushuliwa sasa wanatafuta pakumhifadhi dogo kaweka wazi kifo cha MWL kina mkono wa mtu na BWM anahusika kazi kweli kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.