Kwani wewe Tendwa.kirahisi hivyo? kwa kosa lipi hilo? Mbona silioni? Another drama.
Kwani wewe Tendwa.kirahisi hivyo? kwa kosa lipi hilo? Mbona silioni? Another drama.
Tendwa, tangu lini umegeuka mtabiri? Nijuavyo kazi yako ni kusimamia demokrasia katika uwanja wa siasa za vyama vingi.. kwani hawawezi kupata 200, au hata 10, au 300. Kwa nini 100 pekee????
Muda si mrefu nitakupa facts za kukuhakikishia kwamba umelala kaka.
maana ya huu utabiri ni kuwa upinzani hauwezi kushinda uchaguzi mwaka huuu
upinzani utapata viti 100 ambavyo ni less than half of the total seats, hii ni dhairi yuko bias kwa ccm
Mwitaaaa:That's something to do with the law,nahisi unatamani kuwa jaji mkuu wa Tanzania!!Lol
Mkuu Masanilo,
Picha hii inasikitisha, inatia huruma na inaleta maswali mengi zaidi. Mkuu wa Kaya kalegea kabisaaaa kama mgonjwa mahututi, sijui hata kama alikuwa anajitambua, na hiyo ni within a fraction of a minute.
Walio usingizini ni wale wanaoshangilia "utabiri" wa Tendwa bila kujua kwamba Tendwa ni kama mnyama mkali mwenye sauti nyororo anayeimba nyimbo nje ya mlango wao, huku akitokwa na mate ya uchu wa nyama pindi wakifungua mlango.
Can't anybody smell a rat here? Tendwa aende out of his way kutabiri ushindi wa upinzani ? What's in it for him, anataka kuanzisha biashara ya upinzani baada ya kuacha usajili ?
Masanilo:Google "Stress",I swear mwaka huu zimekujaa sana bro,CCM wanashinda kwa sera,ugonjwa si hata jambo la kutumia kufanyia kampeni.Wananchi watawachapa fimbo kwa kura.Subiri uone mambo kaka.