Labda ungetafuta nakala ya Mwananchi la tarehe 1/9/210 ungeelewa zaidi.MIMI BINAFSI SIJAKUSOMA......i mean husomeki
Wewe na Tendwa nani mweye data za mienendo ya vyama, acha kupayuka kama imekunywa mataputapu leta data vinginevyo nyamaza no research no right to speak.Katika gazeti la mwananchi leo msajili wa vyama vya siasa John Tendwa amesema anatabiri upinzani kupata viti kati ya 80 hadi 100 vya ubunge kama watacheza karata zao vizuri.Sababu hizo ni:
1.Mwamko wa wananchi ndani ya Vyama.
2.Kura za maoni ndani ya Vyama.
3.Mabadiliko ya mfumo ndani ya CCM ambayo yamesababisha baadhi ya makada wake kuondoka kama Mpandazoe.
4.Mazingira huru ya demokrasia.
Hii yaweza kuwa ndoto kubwa ya mchana ambayo tutaijua wazi mwezi Novemba.Hivi kabla ya kuiota,Tendwa anajua kwamba muda si mrefu katika chaguzi za serikali za mitaa CCM imeshinda kwa karibu asilimia 80%??????
Najua yuko macho,alikuwa tu amepitiwa kidogo.
Neutrality doesn't mean no right to speak hayo ni maoni yake binafsi na si ya Ofisi ya Msajili.Tanzania nchi inaelekea wapi?
Msajili wa vyama vya siasa, mtu anayetakiwa kuwa na the highest integrity na neutrality, anaendekeza speculation na utabiri kama Sheikh Yahya Hussein ?
Neutrality doesn't mean no right to speak hayo ni maoni yake binafsi na si ya Ofisi ya Msajili.
Kwa nini unani judge mapema au unanionaje, hata kama akisema CCM watashinda kwa kishindo nitasema hivyo hivyo ni maoni yake.Hivi Tendwa angesema CCM itashinda kwa asilimia 98 napo ungesema "maoni yake tu"? Au mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu?
Kwa nini unani judge mapema au unanionaje, hata kama akisema CCM watashinda kwa kishindo nitasema hivyo hivyo ni maoni yake.
Kiranga amka usingizini.
Hivi huku sio kuvunja maadili ya kazi yake? Kwa nini asitabiri hivyo 100 kuwa ni vya CCM? Huku sio kupigia kampeni CCM? Yaani na yeye anaungana na kazi ya Sheikh Yahya!!? Basis ya utabiri wake ni nini?
Source: Mwananchi 1/9/10
kirahisi hivyo? kwa kosa lipi hilo? Mbona silioni? Another drama.ngoja aendelee kutabiri mwisho wa siku sisi tunataka amwengua kikwete