kilemi
JF-Expert Member
- Mar 13, 2009
- 547
- 107
Kama sijasahau, hii sheria ya uchaguzi ilimdhalilisha hata Kikwete mwenyewe kwa kusaini bila kujua vimeongeza vifungu vingine nje ya vilivyopitishwa na bunge!
Ni kheri huyo Tendwa angesema ameamua kutupilia mbali hilo pingamizi kwa sababu aliyesaini sheria za uchaguzi alikuwa hajui vizuri hizo sheria zitatumikaje!
Ni kheri huyo Tendwa angesema ameamua kutupilia mbali hilo pingamizi kwa sababu aliyesaini sheria za uchaguzi alikuwa hajui vizuri hizo sheria zitatumikaje!