Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
mie sijawahi kumnyima mr,na yeye anaona ni haki yake kila akitaka nimpatie lakini mie nikihitaji ilikuwa ndio kama vile tena amechoka/amechoshwa/ubinafsi na kutokujali kwa wakati huo....
Utawaua wenzako huo sio ushauri......kama mumeo kicheche sio wanaume woote.....
......ushauri wangu nyie TGNP acheni kukitembeza subirini muolewe na ukiolewa mgawie mumeo tu......mumeo akionesha dalili ya kukinai jiulize.....tafuta mbinu mpya.......hamna wa2 rahisi kuwateka kama wanaume nyie tu mnabugi stepu......na hamjipigi sopu sopu ile kama zamani
...haki ya nani tena, be creative...! ikishindikana; jenga mazoea ya kumtengenezea juice ya matunda mbali mbali, kabla hajalala anakunywa kumbe humo ndani ushapondea 50mg ya Viagra, ataamka tu!!!
BEWARE; Dont overdose him!!!!!!!!!!