WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Kama ni hivyo hakuna haja ya kuowa, maana hawa magirl friends wanatugawia ad libitum
Masa,
Unadhani waliosema ndoa ni taasisi ambyo waliomo ndani wanatamani kutoka, na walioko nje wanatamani kuingia walikosea?
Before you get in.. all is rosy.. once you get in, its a diffrent story!