kopundo
Member
- Nov 8, 2011
- 8
- 0
Jamani wana JF,ni kweli kwamba kufanya tendo la ndoa na mama anyonyeshae mtoto kunamathiri mtoto anyonyea?kuna husemi kuwa mtoto "amebemendwa" ikimaanisha mtoto huwa na afya mbaya au kuchelewa kukua au kushindwa au kuchelewa kuongea, kutembea na kadhalika kama wazazi watakuwa wanafanya tendo la ndoa wakati mwanamke hunyonyesha. Does this have any biological or scientific explanation to justify this claim or it is just one of those myth or misconceptions in our society? open forum for us all
Thanks
Thanks