EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Kuna watu wanasema kuwa kama mwanaume umetahiriwa unapoteza asilimia 40 ya pleasure unayoipata wakati ukifanya tendo la ndoa. Kuna mwanaume yoyote hapa ambaye alishawahi kufanya tendo la ndoa na mwanamke huyo huyo kabla na baada ya kutahiriwa?
Je, kulikuwa na tofauti yoyote as far as pleasure is concerned? Pia wapo wanawake waliowahi kufanya tendo la ndoa na mwanaume huyo huyo wakati akiwa bado hajatahiriwa na pia baada ya kutahiriwa? Kulikuwa na tofauti yoyote as far as pleasure is concerned?
Je, kulikuwa na tofauti yoyote as far as pleasure is concerned? Pia wapo wanawake waliowahi kufanya tendo la ndoa na mwanaume huyo huyo wakati akiwa bado hajatahiriwa na pia baada ya kutahiriwa? Kulikuwa na tofauti yoyote as far as pleasure is concerned?