Tenda ya TANESCO: Ni ya kweli haya?

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,149
10,854
Siku ya kufungua tenda ni May 14 2010 hapo Ubungo.Ati vituo vinavyotakiwa kujaziwa tender ni pamoja na Mombo,Hale na Michungwani.Korogwe wala jijini Tanga hakuna.Hivi kulikuwa na makosa ya uchapishaji au nini?.
 
Back
Top Bottom