kwa kila gunia analolipia nadhani 8000 kama kodi, kuna hela kwa ajili ya reforestation. sema wakusanya mapato huwa hawapandi miti hata kidogo. niwapongeza watendaji wa moshi kuvunja rekodi kwa kufikisha miti 8,000,000 kwa mwaka wakati kwa serikali ni miti 1,500,000 tu kwa mwaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.