Ungependa kazi ya kiwango gani cha mshahara/posho? Kuna jamaa wana kazi, sio ya kuvutia ki vile na vi-chenji wanavyolipa siyo vingi wanalipa basic ya Tsh.105000/= ukijumlisha na overtime ambayo kwao masaa 4 ni compulsory unaweza ukapata kwenye 180000. see, siyo poa sana but if unafikiri itakusaidia karibu nitakulink nao
Ungependa kazi ya kiwango gani cha mshahara/posho? Kuna jamaa wana kazi, sio ya kuvutia ki vile na vi-chenji wanavyolipa siyo vingi wanalipa basic ya Tsh.105000/= ukijumlisha na overtime ambayo kwao masaa 4 ni compulsory unaweza ukapata kwenye 180000. see, siyo poa sana but if unafikiri itakusaidia karibu nitakulink nao
Ungependa kazi ya kiwango gani cha mshahara/posho? Kuna jamaa wana kazi, sio ya kuvutia ki vile na vi-chenji wanavyolipa siyo vingi wanalipa basic ya Tsh.105000/= ukijumlisha na overtime ambayo kwao masaa 4 ni compulsory unaweza ukapata kwenye 180000. see, siyo poa sana but if unafikiri itakusaidia karibu nitakulink nao
Ungependa kazi ya kiwango gani cha mshahara/posho? Kuna jamaa wana kazi, sio ya kuvutia ki vile na vi-chenji wanavyolipa siyo vingi wanalipa basic ya Tsh.105000/= ukijumlisha na overtime ambayo kwao masaa 4 ni compulsory unaweza ukapata kwenye 180000. see, siyo poa sana but if unafikiri itakusaidia karibu nitakulink nao
Ungependa kazi ya kiwango gani cha mshahara/posho? Kuna jamaa wana kazi, sio ya kuvutia ki vile na vi-chenji wanavyolipa siyo vingi wanalipa basic ya Tsh.105000/= ukijumlisha na overtime ambayo kwao masaa 4 ni compulsory unaweza ukapata kwenye 180000. see, siyo poa sana but if unafikiri itakusaidia karibu nitakulink nao
Haya Mpwa, shemejio kaacha kazi juzi, hebu nikonektie fasta pls, tafadhali sana Elly B
nimeku PM
Nitumie pls kwene PM
Elly nimeipenda hiyo job kama jamaa hapo juu atakuwa amechomoa pls naomba contact zako,,, nina ndugu yangu home anahitaji hat mahali pa kumkeep busy walau apate nauli tu.
yah bro, send me the link, i'll appreciate.
Mkuu were you just tantalising?Naona tangu ulivyotoa hizi dondoo hujarudi tena i've tried and pm'd you lakini hujibu,hata hapa jamaa wanaendelea kukuliza you don't respond!
nisaidiaeni jamaniii.,am in need of a job!!