Mama timmy
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 656
- 209
Kinondoni biashara hii inafanyika wazi na watumiaji wa natumia wazi wazi bila kificho.ni hatari sana kwa taifa.polisi wanajua wa naona ila sijui ni nini kimelipata taifa.kwa wazungu wakubwa wanaotuma vijana kwenda kubeba mzigo wanapatikana ilala hasa magomeni.ila mapusha wengi wanapatikana temeke hasa mtaa wa wailes.