Tembelea CHADEMA blog

Status
Not open for further replies.
Kwa kuwa ni chadema blog,ningependekeza asilimia kubwa ya vyanzo vya habari vitokee chadema ,iwe msemaji wa chama au mhusika mwenyewe wa habari.yaani ifanywe kwamba magazeti yaje kupakuwa habari hapa si kinyume chake!
 
Chademaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!! nakupenda sana nina IMANI sana nawe kwa DAMU au MAJI,USIKU au MCHANA,SHDA au TAABU,kwa kupigwa na MAWIMBI ya NGUVU ya mafisadi na uongozi mbaya kutoka chama cha kijani naahidi kuwa NITAKUPENDA CHADEMA mkombozi wakweli
 
Nikilala chadema,nikiamka chadema,nikiwa kazini chadema,
nikiwa kwenye harakati za ukombozi chadema.
Hakika chadema ni chama cha kuwakomboa wanyonge wa taifa hili.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom