Kwa kuwa ni chadema blog,ningependekeza asilimia kubwa ya vyanzo vya habari vitokee chadema ,iwe msemaji wa chama au mhusika mwenyewe wa habari.yaani ifanywe kwamba magazeti yaje kupakuwa habari hapa si kinyume chake!
Chademaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!! nakupenda sana nina IMANI sana nawe kwa DAMU au MAJI,USIKU au MCHANA,SHDA au TAABU,kwa kupigwa na MAWIMBI ya NGUVU ya mafisadi na uongozi mbaya kutoka chama cha kijani naahidi kuwa NITAKUPENDA CHADEMA mkombozi wakweli
Nikilala chadema,nikiamka chadema,nikiwa kazini chadema,
nikiwa kwenye harakati za ukombozi chadema.
Hakika chadema ni chama cha kuwakomboa wanyonge wa taifa hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.