mchongameno
Member
- Feb 9, 2012
- 26
- 16
Jiunge katika harakati za kulikomboa Taifa kutoka mikononi mwa mafisadi kwa kutembelea na kusoma habari kupitia.Chadema Blog
Jiunge katika harakati za kulikomboa Taifa kutoka mikononi mwa mafisadi kwa kutembelea na kusoma habari kupitia.Chadema Blog
Jiunge katika harakati za kulikomboa Taifa kutoka mikononi mwa mafisadi kwa kutembelea na kusoma habari kupitia.Chadema Blog
Naona tumekamilika kila idara....bado CHADEMA TV NA CHADEMA FM...sijui mambo haya lini Mungu wangu...I wish kama CHADEMA hatuna fedha kwa ajiil ya hili, tupitishe mchango....kama yule mama wa jana aliyekuwa anawahi kikao cha CHADEMA MWANZA alichngiwa 32,500 kwenye dala dala ya walalahoi kama mm, vipi tukisema tunachangia uanzishwaji wa CADEMA TV...viongozi wanaona ugumu gani??
muwe mnai updates kila siku utaona jinsi watu watakavyokuwa wanaikimbilia ila kama updates ni mara moja kwa wiki hakuna wa kuitembelea
Naona tumekamilika kila idara....bado CHADEMA TV NA CHADEMA FM...sijui mambo haya lini Mungu wangu...I wish kama CHADEMA hatuna fedha kwa ajiil ya hili, tupitishe mchango....kama yule mama wa jana aliyekuwa anawahi kikao cha CHADEMA MWANZA alichngiwa 32,500 kwenye dala dala ya walalahoi kama mm, vipi tukisema tunachangia uanzishwaji wa CADEMA TV...viongozi wanaona ugumu gani??
Shauri viongozi CHADEMA wafungue akaunti kwa ajili ya kuchangia CHADEMA TV.Tuko tayari.
Hivi ni Peoples power au People's power? Naomba confirmationa juu ya hili, na kama ni People's power basi blog iwe updated juu ya hilo.