Of course the type of love you are talking here is between a boy and a girl.
Love develops before sex is done and the importance of doing sex is sealing the convenant that there is something between you 2 and everyone becomes sure of the relationship.
Mimi naishi na wazungu na wanafanya kama nlivoeleza kwa hyo tusijidharaulishe maana uafrika unamaanisha heshima ambayo nitazidi kuwa nayo hasa katika swala la mapenzi.
ahhh umeongea fresh apo pa juu
lakin apa pa mimi naish na WAZUNGU pamekujaje?
wao ndo SI UNIT ya ustaarabu wote?
si wazungu wooote wana practise ulichokisema apo ju
na si waafrica woote HAWAPRACTISE ULICHOKISEMA
SO,I ISSUE NI MAKUBALIANO ..upon M.O.U ya pande mbili..
wapo watu kibao apa tz wanapendana kikweli lakin awajai kuchojoana na wapo wazungu kibao tu wakikutana tu wanarambana thats no SEX NO LOVE BTN US
nmekugongea thanx kimoyomoyo cz kitufe cha thanx kimetoweka.
Asante sweeeeeetiiiiiieeeeeeeee!!!!!!!
we mtoto hujambo,
usinimalizie kiporo, kwani nakujua wewe hunaga utani!
HAHA haha tokazako
naandikoa ktandan enhh?
au seblen?
au kazn?
mpango kaz ukoje?
nakusikiliza mkuu
nambie wewe, muda si mrefu ntaibuka mitaa yako huko
kUMBE HAPAJUI KWAKO anabahatisha!subiri tu
ntakushtua na kukupa raman kamil
kUMBE HAPAJUI KWAKO anabahatisha!
Nakubali nimepitwa na wakati!ahh siyo raman ya mpango mji thats nyumba namba i,mtaa u
raman=timetebo,mwennendo wangu na mishemishe za leo