Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Kwa mara nyingine tena kama ilivyotokea Meli kuzama bahari ya Hindi huku TBC wakipiga Taarabu, ndivyo ilivyokuwa leo ambapo watanzania wengi waliosikia tukio la Ugomvi wa kidini huko Buseresere Wilayani Chato mkoa wa Geita walitegemea kuuona ukweli katika television ya Taifa ambayo inashikika hata kwa eria huku vijijini. Tulitegemea kuoneshwa walau kiongozi wa serikali akikemea suala hili na kusisitiza mshikamano miongoni mwa Watanzania. Badala yake wamekaa kimya kana kwamba kilichotokea ni sahihi.
Pia hata mauaji ya askari yaliyotokea kule Tazara TBC haina habari. Television ya Taifa hii imewaonesha watanzania mtoto wa Uingereza aliumwa na mbwa akakatwa kidole chake kimoja wakati Watanzania wawili wamekufa. Serikali kumbe haijali na wala haioni kuna haja ya kukemea kinachoendelea. Hapa nimeshangaa sana. Wananchi walikimbia kuangalia taarifa za habari hata kwa majirani hawakuona kitu. Kwa hali hiyo walioguswa wanapanga kuenda kulipiza kisasi maana serikali haijali suala hili kama ambavyo imekuwa makini kuongelea maandamano ya vyama vya upinzani.
Kwa akili yao mbovu wamekauka ili watanzania wengi wasijue lakini wanajidanganya. BBC inasikika kote hata mipakani ambapo redio za kenya , Uganda, Rwanda zinajiunga na tunasikia sana. Nchini mwetu chombo kikuu cha habari nchini wala haijakemea suala hii. Watu wazindua maajabu saba ya Africa na wengine mikutanoni wala hawana habari na kinachoendelea. Wanacheka cheka tu. Natamka rasmi kuwa hawa vijana walioko TBC ni wapumbavu na familia zao zione aibu kwa hili.
Kipindi kile wakati Afrika kusini wanapigania uhuru mwanaharakati mmoja alipokuwa ananyanyaswa na makaburu aliwahi kuwaambia kuwa niteseni sababu naipigania nchi yangu.......akasema kuwa hata wanangu watakuja kusema kuwa baba ni mtu aliyekuwa na uwezo wa kutetea na kusimamia alichokiamini kuwa ni kweli................kisha akamuuliza Kaburu....wewe wanao watajivunia nini kwako? Nawauliza vijana mlioko TBC wanenu wajivunie nini. Bwigane, Ahmed Salum, Mbozi Katala, Gabriel Zacharia na wengineo......mmefikia amri ya kuamrishwa kama mfugo mmoja ufugwao na binadamu ambao ukiambiwa shikaaaaaaaaaaaaaa............ ..........unakimbia na kung'ata bila hata kuhoji makosa ya anayeng'atwa. Mkikuta wanaume wanaongea wala msichangie mada. Hamna tofauti na ma house girl/boys mbele ya father/mother house ndani ya nyumba.
Naamini kuwa " It is better to be poor but free rather than being rich but a slave"
Ili mjue kwamba kulazimishana kuamini ambacho sio hadi mtu kufa ni jambo baya............
Hata hii TBC yetu imewashinda..................
Pia hata mauaji ya askari yaliyotokea kule Tazara TBC haina habari. Television ya Taifa hii imewaonesha watanzania mtoto wa Uingereza aliumwa na mbwa akakatwa kidole chake kimoja wakati Watanzania wawili wamekufa. Serikali kumbe haijali na wala haioni kuna haja ya kukemea kinachoendelea. Hapa nimeshangaa sana. Wananchi walikimbia kuangalia taarifa za habari hata kwa majirani hawakuona kitu. Kwa hali hiyo walioguswa wanapanga kuenda kulipiza kisasi maana serikali haijali suala hili kama ambavyo imekuwa makini kuongelea maandamano ya vyama vya upinzani.
Kwa akili yao mbovu wamekauka ili watanzania wengi wasijue lakini wanajidanganya. BBC inasikika kote hata mipakani ambapo redio za kenya , Uganda, Rwanda zinajiunga na tunasikia sana. Nchini mwetu chombo kikuu cha habari nchini wala haijakemea suala hii. Watu wazindua maajabu saba ya Africa na wengine mikutanoni wala hawana habari na kinachoendelea. Wanacheka cheka tu. Natamka rasmi kuwa hawa vijana walioko TBC ni wapumbavu na familia zao zione aibu kwa hili.
Kipindi kile wakati Afrika kusini wanapigania uhuru mwanaharakati mmoja alipokuwa ananyanyaswa na makaburu aliwahi kuwaambia kuwa niteseni sababu naipigania nchi yangu.......akasema kuwa hata wanangu watakuja kusema kuwa baba ni mtu aliyekuwa na uwezo wa kutetea na kusimamia alichokiamini kuwa ni kweli................kisha akamuuliza Kaburu....wewe wanao watajivunia nini kwako? Nawauliza vijana mlioko TBC wanenu wajivunie nini. Bwigane, Ahmed Salum, Mbozi Katala, Gabriel Zacharia na wengineo......mmefikia amri ya kuamrishwa kama mfugo mmoja ufugwao na binadamu ambao ukiambiwa shikaaaaaaaaaaaaaa............ ..........unakimbia na kung'ata bila hata kuhoji makosa ya anayeng'atwa. Mkikuta wanaume wanaongea wala msichangie mada. Hamna tofauti na ma house girl/boys mbele ya father/mother house ndani ya nyumba.
Naamini kuwa " It is better to be poor but free rather than being rich but a slave"
Ili mjue kwamba kulazimishana kuamini ambacho sio hadi mtu kufa ni jambo baya............
Hata hii TBC yetu imewashinda..................
Last edited by a moderator: