Habari hii inawajia Kutoka Radio Tanzania Dar es salaaam, Msomaji wenu ni David Wakati.
Amin alikuwa katili wa kutupwa,wanajeshe wake walipoteka eneo la minziro na missenye waliua watu wengi wasio na hatia na kwa vifo vya mateso kama kuwachoma na miti iliyochongwa,wakati wale watz walipoiteka uganda walifanya uungwana.na ile vita ya mwaka 72 nayo je,kama kweli vita ya mwaka 78/79 haikupaswa kupiganwa.Ni heri gharama aliyotuingiza nyerer kulinda heshima yetu kuliko huu ufisadi ambao hauna heshima wala malengo yoyote na faida kwa taifa.
Imagine wewe ni mkuu wa nchi. Mkuu wa nchi nyingine anakutukana kiasi hicho na ukanyamaza eti ni vita binafsi...kwangu haiingii akilini. Nitampiga na wananchi wangu watanisupport kuondoa dharau kwa kiongozi mkuu wa nchi.
Yale maneno ya kagame kuwa jk anaongea uttermost nonsense hayakuwa matusi?
Iddi Amini hakuwa na kitu kichwani. Uliotisha ulikuwa mdomo. Maamuzi yake mengi yalikuwa ya ajabu ajabu kwa hiyo kwa hakika hakuwa na uwezo wa kushinda vita ukizingatia hakuwa na sapoti ya kutosha toka ndani ya uganda yenyewe.
Kwa kifupi angekuwa na akili asingekuwa na maneno ya namna hii
Si hilo tu, Idd Amin alikuwa fedhuri sana dhidi ya Mwalimu, tulifikia hatua ya kumchapa baada ya kutukaa kichwani kwelikweli
Kweli huyu jamaa alitudharau sana lakini nilichompendea ni hiki hapa!
Na hii hapa!