KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,511
Aksante mkuuHahaha pole mkuu
Aksante mkuuHahaha pole mkuu
Heshima yako mkuunimeeka link ya site ya telegram bado unataka tubishane?
na kinachozungumziwa hapo sio unachokiona kwenye gallery bali kinachobaki kwenye server ya telegram. kikibaki kwenye simu yako unastahiki sababu ni chako ila wakibaki nacho wao ndio maswali yanapoanza
Uki-install hii kitu unapoanza kucheck movies and other videos,inakuwa inakula bando ama vipi?
Hata kama app Billions ila tunataka app nzuri kutokana na mahitaji ya mtumiajiTAARIFA: Mmiliki wa Whatsup ndo huyo huyo wa Telegram.
Hauoni link mkuu nini..Tumeweka hapo juuNataka nijiunge na hizo series channel,,nafanyaje au ni group hilo
well telegram wapo vizuri kwenye kila angle kulinganisha na whatsapp. ni apps bora sana kwa security maana waweza fanya secure chat na mtu na bado watu wasiweze kukudukua maana ina end to end encryption. Whatsapp wapo mbele kwa sababu walitangulia tu, nothing else.