Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Halafu ndio nimenunua vocha hapa ya star times tulionunua mwanzoni mbona clear tu ,hakuna kugomagoma!
<br />Mie natumia king'amuzi[decoder] cha hawa "EASY TV" naona watu wengi hawakijui, ila ni wazuri saaaana. Channel zote za tz zinapatikana, na znz, kenya-KTN, CITIZEN., Uganda-UBC, ALJAZEER,CNN, BBC, CCTV1 & 2, zakidini-christo ipo EMMANUEL ya nigeria na muslim ipo PEACE TV, NA za movie kibao. Gharama ya decoda sh 140,000/- na ada ya mwezi sh 9,000/-simu yao customer care ni- 0658688633. Hamia easy tv.
<br /><br /><br />
<br />inaonyesha hiki kiko vizuri sana!vp kinapatikana mikoa yote?au ni baadhi ya mikoa tu km ilivyo star times na Tin!
<br />hawa jamaa ni hewa
<br />heheeee we acha tuu mi yangu karibiaa natupa huko inagomagoma mara zote<br />
channels za hooovyo wanarudiarudia movies<br />
sibuka na kbc1 zinasauti mbili unaona movie af unasikiliza reggae<br />
stupid zao
<br />Nimenunua decoda ya STARTIMES ni kama nimepoteza hela yangu. Wakati inafanyakazi inagomagoma. Nimewauliza inakuwaje hali hii, wanasema ni antena. Nimebadilisha antena kwa kununua ya kwao, hali ni hiyohiyo. Vipindi vyenyewe havikidhi haja kabisa, kwa ujumla vingi havipendezi. <br />
Wakati huohuo natoa wito kwa mamlaka ya mawasiliano kuhakikisha decoda zote zinakubali kadi za tv zote. Ili mtu anunue decoda moja itayoingiliana na kadi zote kama ilivyo sim kadi za simu na simu zenyewe.