KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
WanaJF mambo vp?
Nina maswali machache kidogo yananitatiza kutokana na hii teknolojia ya hivi vingamuzi.
Hivi Dstv wao wanatumia teknolojia gani ya digtali au analogia? Kama wanatumia digitali kwa nini hawa startimes na ting na wao wasitumie njia hiyo ili mtu yeyote aliye ndani ya nchi hii apokee mifumo yao kwa njia ya satellite, badala ya mifumo yao hiyo ya kutumia transmita na ndio maana mtakubaliana nami kuna baadhi ya maeneo ya hapa dar picha zao zinakatikakatika. Kwani hizo transimita zao zinarusha mawimbi kwa umbali gani?
Tuingie kwenye teknolojia fulani inayoendana na jiografia ya nchi yetu. Nionavyo mimi wangejipanga wawe wanarusha matangazo yao kupitia kwenye satellite kwa mfano nyuzi 68 mashariki ambapo kama utakuwa unataka MY TV, au STARTIMES au TING utumie dish hilo moja kwa kuchagua mojawapo kati ya hizi sio kuleta teknolojia inayosambaa kwa kufuata miji mikubwa kwani waishio kwenye wilaya wao hawastahili?
Jamani hivyo ndivyo nionavyo mimi wewe unasemaje?
Nina maswali machache kidogo yananitatiza kutokana na hii teknolojia ya hivi vingamuzi.
Hivi Dstv wao wanatumia teknolojia gani ya digtali au analogia? Kama wanatumia digitali kwa nini hawa startimes na ting na wao wasitumie njia hiyo ili mtu yeyote aliye ndani ya nchi hii apokee mifumo yao kwa njia ya satellite, badala ya mifumo yao hiyo ya kutumia transmita na ndio maana mtakubaliana nami kuna baadhi ya maeneo ya hapa dar picha zao zinakatikakatika. Kwani hizo transimita zao zinarusha mawimbi kwa umbali gani?
Tuingie kwenye teknolojia fulani inayoendana na jiografia ya nchi yetu. Nionavyo mimi wangejipanga wawe wanarusha matangazo yao kupitia kwenye satellite kwa mfano nyuzi 68 mashariki ambapo kama utakuwa unataka MY TV, au STARTIMES au TING utumie dish hilo moja kwa kuchagua mojawapo kati ya hizi sio kuleta teknolojia inayosambaa kwa kufuata miji mikubwa kwani waishio kwenye wilaya wao hawastahili?
Jamani hivyo ndivyo nionavyo mimi wewe unasemaje?