Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,397
Nimekuwa nikisikia kuhusu mabadiliko ya teknolojia toka mfumo wa analoji kwenda digitali. Naomba nielweshwe mabadiliko haya yataleta ahueni gani kwa mtu wa kawaida. Mfano, Je tutaendelea kudundika na antena zetu za balbu au teknolojia itatutaka kununua dikoda?