Teknolojia: Tujadiliane

Hilo ni kweli. Lkn, mkuu, hebu jiulize ni kwa kiasi gani ICT na sekta nyingine zinaathiriwa na huu mgao wa umeme? Ni kwanini mawasiliano ktk sehemu nyingi za Tz bado ni suala la anasa? Unahitaji nini, kwa mfano, ili server yako ifanye kazi kiufanisi? Je, ulishawahi kusikia khs Google, ambao ni mojawapo ya wadau wakubwa wa ICT, kuwekeza ktk nishati m'badala? Unafikiri ni kwanini wameamua hivyo? Sikupingi, ila najaribu kuhoji khs teknolojia mama.

Mimi hapo sikupingi, na ndo kilio changu kwamba lazima umeme wa kutosha uwepo. Ukifuatilia signature yangu ndo movement yetu hio.

na mm naendeleza ubishi nyie watu ict sio potential kwa ukombozi wa tanzania utashi wenu umetawaliwa/unaongozwa na wanasiasa wasio na elimu ndio mana idara nyingi za serikali zinaendeshwa kianalog kuanzia serikali za mitaa,halimashauri na maofisi mengi sana ya serikali

naamini tukikaa tukaja na appropriate methdologies tutawalizmisha wao kutufuata sisi. we shud not under estimate the power we got, ICT can be a driving force..
 
kwanza with most services ambazo zinafanywa kwa gharama kubwa Tanzania zinaeza punguzwa kwa management systems zinatengezwa na wataalam wa IT. IT provides a very proper marketting model, and cutting edge technologies providing that competitivve advantage needed!

Sio tu kupunguza gharama ya service bali hata ICT inaweza kufukisha mashimo mengi

Example in edecuation

  • Wizara au hata sisi member tunaweza kutafuta walimu wazuri tukashoot video wakifunsiha topic fulani then CD zikagawiwa kwenye mashule.
There is a difference mwanafunzi kusoma fermation process kwenye kitabu tu na yule aliyesomana kuna process ya pfermantin inafanyika.

So excuse ya kusema shule hazina vifaa na maabara za kufanya experiment zinaweza kuzibwa na kuwa video ya pocess husika . Just a projector and DVD . ambayo itatumika wakati wowote.

Kwa nini tusitafute walimu wa kitanzania na shule tushirikiane nao kutengenze vitu kama hivi


Ni kwa kiasi gani ICT itasaaidia kuinnua kiwango cha elimu kama DVD kama hizi zingekuwa zinapatikna kwenye video library?
 
Last edited by a moderator:
Zing
This is a very good example on how technology can in no time leap and narrows the gap in education but I would want to air my concern on it.
On this and many forums there has been a concerted effort to want to access material held elsewhere at no cost to the person seeking the item(s). This is a false sense of justifiable "reditribution/gain" of material on the basis of costs. I know that some items (books/CDs/DVDs) may be unfavourably priced but that is an argument for another day. What I want to stress here is the false sense of gain that results in the kuchakachua mentality that does appear to be an accepted phenomenon in Tanzania at the moment. The gain is false because it is accepted that without having an attachment to something: full attainment of that things benefit will not be achieved, why? You do not have the attachment in this case, a monetary attachment where the cost you incur propels you to want to gain maximum benefit from it. You will strive to say if its a book, to go over and over its pages to gain the content. On the other hand if you didn't develop that attachment, it becomes yet another pdf, another CD-ROM brimming full of applications that you promise yourself that one day, yes one day you will get round to making use of it. That is the false attachment in my argument.

For your noble idea, this is my suggestion. There will be a cost involved in developing the said materials. You will find it increasingly hard to gain access to teachers to give you the material and if you succeed, there is the added cost to gather the material, quality check the content to ensure it falls within the syllabus in use and finally the cost of media and distribution. Unless there is a cost to the end user, believe me, if you supply CD-ROMS or DVD media, they will quickly get a new use for them, maybe decorations, maybe tea cosies and never attain what you have in mind.

As a people we don't have a good record in keeping/using to its fullest the things we get from donations, a recent article in the papers cited a water supply facility somewhere in DSM where a favourable drinks company built the facility and within a week, all the taps had mysteriously grown legs and disappeared. However, if this was implemented to have a management cost to the recipients, then they would have felt a need to keep/protect this vital resource that has been brought to their neighbourhood. Mzungu comes and shows us how to relieve ourselves, builds latrines and the like and in no time, we dismantle them through misuse and wait say for another Mzungu to come and save us again.
Enough of my rants but suggestion you propose is good, very good but the caution I put before you should help your suggestions and those who run with it some food for thought.
 
samahani wakuu kwa kuchakachua hii mada,naomba kujuzwa kuhusu hivi vitu viwili 1.SAYANSI na 2.TECHNOLOGY ni kitu kimoja au ni viwili tofauti
 
Mimi hapo sikupingi, na ndo kilio changu kwamba lazima umeme wa kutosha uwepo. Ukifuatilia signature yangu ndo movement yetu hio.



naamini tukikaa tukaja na appropriate methdologies tutawalizmisha wao kutufuata sisi. we shud not under estimate the power we got, ICT can be a driving force..

nakubaliana na ww mkuu
 
samahani wakuu kwa kuchakachua hii mada,naomba kujuzwa kuhusu hivi vitu viwili 1.SAYANSI na 2.TECHNOLOGY ni kitu kimoja au ni viwili tofauti

Sayansi ni principles na teknolojia ni kuziweka hizo principle za sayansi kuwa useful katika maisha ya mwanadamu.
 
mkuu kwaiyo ni sawa nakusema ni k2 kmoja
Unaweza usema vinashabihiana lakini si kitu kimoja. Teknolojia ni zao la sayansi au mchanganyiko wa sayansi mbali mbali. Mfano Simu ya mkononi.... kuna sayansi ya sauti, wireless, etc.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom