Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
- Thread starter
- #21
Kama vipi nipeni mji nimtaje huyu mtanashatiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...........................
mhhhhh magulumangu tenaaaaa....leo lazima mchague kamji
Hunitakii mema wewe, yaani unanisukumia Motoni niungue? duh lizzy mwaya acha uchoyo hata mji?
Hahahahaaa, sorry mliniqoute ubaya, nilimaanisha ulabu.... gnt
Ahh we bwana...sasa unataka kwenda wapi??Njoo Moshi nikupikie mtori!
Hamna mjanja jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Lizzy Poa nakuja huko kulamba Mtori na ile pombe ya Ndizi au sio.......Ni JF jamani maana hii kitu inapendwa na watu kibao lakini haijui.......
Hahaha...unaifagilia upandishwe cheo ehh??!Ila kwanini umeassume JeiEff ni mkaka na sio mdada? Inaitwa mbege...we njoo tu!
New level of Mbege ndugu yangu yaja kaa chonjo....angalia changio langu Photo....
Ulabu ni kila mtu unampenda, kamwe hausaliti, unagawa bila choyo....
mdini wewe ngoja Kikwete na CCM wakusikie, eti maka....