LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
Jamani kunani njia ya tegeta maana nilikuwa kwenye gari nimekutana na difender zimejaza ffu wamejilodi bunduki na mabom ya machozi ya kutosha bila kusahau kunamagari kadhaa ya washawasha.
Vijana wa bodaboda na raia kadhaa wametapakaa na kukimbia ovyo ovyo .Je jamani mliopo njia ya tegeta kunani?
Vijana wa bodaboda na raia kadhaa wametapakaa na kukimbia ovyo ovyo .Je jamani mliopo njia ya tegeta kunani?