Tecno watoa simu ya camera ya mbele yenye mp 21

kwaio tunaionea wivu TECNO?kweli jamani?
wewe si mzima hata,nina mashaka mitambo haifui..
Hawa Jamaa tecno wako vzur sana kweny battery cjaona smart phone inayoweza compete nao.. Ctaki Samsung Galaxy wala iPhone wala xperia.
..tecno forever bien
 
aaah kutu ni window phone yaan screen ina sance kabla ya mkono kufika kwenye screen hamia huku weweeeeeee WINDOW PHONE
 
Mkuu napataje hizi gta za simu niweke kwenye galaxy s6!? Vp ukubwa wake bundle niandae gb ngapi mkuu !?
Natanguliza shukrani
GTA Auto Theft Vice City inapatikana kwenye play store kwa $4.99 ina 1.5GB capacity, unahitaji reliable wi-fi kwa ajili ya kudownload, vile vile kama hutaki ya kununua unaweza kuitafuta apk file kwenye search ya Google
 
Yaani huwa naiona TECNO kama feki vile sijui kwanini yaani pamoja na mbwembwe zao sijawahi kuwaamini nishaahirisha kununua simu zao mara tatu
 
hata kama wewe ulitegemea lini nokia atafulia
au black berry

techno kaanza mwaka gani katika smartphone na leo sumsung lg htc wanatishika ujio wake kwanza anawapiga gap bado iphone tu sumsung anatoa simu mwezi mmoja anairudisha tena kuitengeneza sio kuchoka huko
Naona unaongea vitu usivyo vielewa...yani htc,lg,Samsung wanatishika na tecno?

Hivi simu kama G2 ya 2013 utafananisha na tecno ipi labda..kuanzia camera,soc,battery life,gpu

Kukimbizwa na mnyama wa 2013 bado uje kufafananisha tecno na Lg,Samsung, htc

Ndio mana hadi leo system update mnaiskia kweny bomba tu

Humu kila siku ndio mnaaongoza kuomba misaada ya tecno..naomba uanze kuesabu threads za matatizo ya tecno.

Hata ukitengeneza scale of preference nafikir kwa matatizo lukuki ya tecno yanayo kua posted jf basi tecno nafkir utaiweka mwishon huko.

Ila kama unaishia kuchat,na kuskiliza mzik wa boom j8 sawa tu we endelea tu na tecno yako simu ambayo hata makao makuu yake hayajulkan.
 
GTA Auto Theft Vice City inapatikana kwenye play store kwa $4.99 ina 1.5GB capacity, unahitaji reliable wi-fi kwa ajili ya kudownload, vile vile kama hutaki ya kununua unaweza kuitafuta apk file kwenye search ya Google
..achana na Huko,nenda Pirate Bay alaf download apk Yake Bila Hela Yoyote
 
Nimekuelewa vzuri.... Tuuh... Iko hv kwa vgezo vyakitaalam uko sahihi ila kwa vgezo vyakimazingira bado sijakuelewa. Kwa mfano... Technolojia ya mawasiliano ya kimtandao ya 4g na 3g ni tofauti lakini halotel wanaotumia 3g kwa hapa bongo na tigo wanaotumia 4g nani anafanya vizuri.... So pamoja na hayo yote kwa utunzaji wa charge tukubali tukatae Tecno anafanya vizuri pamoja na kutumia technology xilizokwisha kupita. Kuhusu ukubwa na udogo wa pxr bado kimazingira trcno yupo vzuri nikiwa na maana anatumia pxr kubwa kwa eneo dogo, dsplay. Kuhusu sensor wanazidi kuimprove, tatizo nililoliona kwao ni maisha ya device zao hayaishi vzuri ndio mana ni agharabu sana kumkuta mtu anatumia tecno iliyochoka na ikaendelea kufanya vizuri kama ilivyokuwa mpya,ila tukizishjndanisha zikiwa zinatoka ktk box tecno atawakimbiza wengi tuu hasa upande wa kutunza chaji....... Bei yake huwa juu kwa muda mfupi tuu so ndio maana zinautwa mkombozi wa maskini.. Yani ya laki 3 baada ya miezi mitatu minne utaichukua hata kwa nusu bei yake ndio maana wanazidi kukurupuka kutoa device zenye mabadiliko makubwa kila mara , unaweza kuta huduma iliyokuwa inapatikana toleo la nyuma haipo ktk toleo jipya mara ukaikuta tena ktk toleo litakalofuata... So ktk simu zenye majina sana hapa bongo,kwa huduma zisizo na uhitaji wa uelewa mwiiiingi na zisizo na usumbufu... Tumpe tecno haki yake japo ananyongeka.....
 
Hiz Tecno hz na RAM zao za gb2 alaf kuprocess vitu ndo kimgandooo bora alcatrl idol apha yangu gb1 tuu ula tekno wakasome mega pixel hata waweke 100 chakuangalia ni pixel density za display zao tuuu utajua kama izo pixel za camera zinamata
 
kuna mtu hapa ana c8 haina miezi hata miwili kila akiopen apps zina crash zenyewe!!!
 
Nimekuelewa vzuri.... Tuuh... Iko hv kwa vgezo vyakitaalam uko sahihi ila kwa vgezo vyakimazingira bado sijakuelewa. Kwa mfano... Technolojia ya mawasiliano ya kimtandao ya 4g na 3g ni tofauti lakini halotel wanaotumia 3g kwa hapa bongo na tigo wanaotumia 4g nani anafanya vizuri.... So pamoja na hayo yote kwa utunzaji wa charge tukubali tukatae Tecno anafanya vizuri pamoja na kutumia technology xilizokwisha kupita. Kuhusu ukubwa na udogo wa pxr bado kimazingira trcno yupo vzuri nikiwa na maana anatumia pxr kubwa kwa eneo dogo, dsplay. Kuhusu sensor wanazidi kuimprove, tatizo nililoliona kwao ni maisha ya device zao hayaishi vzuri ndio mana ni agharabu sana kumkuta mtu anatumia tecno iliyochoka na ikaendelea kufanya vizuri kama ilivyokuwa mpya,ila tukizishjndanisha zikiwa zinatoka ktk box tecno atawakimbiza wengi tuu hasa upande wa kutunza chaji....... Bei yake huwa juu kwa muda mfupi tuu so ndio maana zinautwa mkombozi wa maskini.. Yani ya laki 3 baada ya miezi mitatu minne utaichukua hata kwa nusu bei yake ndio maana wanazidi kukurupuka kutoa device zenye mabadiliko makubwa kila mara , unaweza kuta huduma iliyokuwa inapatikana toleo la nyuma haipo ktk toleo jipya mara ukaikuta tena ktk toleo litakalofuata... So ktk simu zenye majina sana hapa bongo,kwa huduma zisizo na uhitaji wa uelewa mwiiiingi na zisizo na usumbufu... Tumpe tecno haki yake japo ananyongeka.....
Sisi hatukataia tecno kuwa upande wa masikini.ila

Kuilinganisha na simu za malaki,eti inakimbiza chaj!!!sababu ya chaji kudumu ni kwa sababu vifaa vilivyomo havijishughulishi kufanya kitu bora.

Wakati pesa zimepungua mfukoni tusijalibu kujifariji na mambo yasiyo na ukweli, unaposhika simu ya milioni au laki tano inaongea kwa lugha zote kuanzia muonekano mpaka inavofanya kazi.

Hapo kwenye swala la simu kuchuja, unaiona sasa sababu ya baadhi ya simu kuwa na gharama kubwa sasa, ni pamoja na hiyo kitu.nina uhakika ukinunua tecno leo baada ya wiki tu huna hamu nayo si kioo wala back cover ni mikwaruzo usiyoelewa imetoka wapi.

Na kati ya kitu wanachoharibu zaidi ni kuendelea kufyatua matoleo mengi yasiyo na mpangirio.tunajua wanaangalia faida so tuwaache.ila msiendelee kulinganisha na simu za maana mnatudharau.
 
kuna mtu hapa ana c8 haina miezi hata miwili kila akiopen apps zina crash zenyewe!!!
na hapo bado iko kwenye laki moja, ikifikia kwenye laki mbili inaandika unfortunately charging has stoped.
Unfortunately battery has stopped.
Unfortunately screen has stopped.
Unfortunately you have stopped.

Reboot ur device, una reboot inaishia kuchora logo , hapo ndio utaelewa mchina ni nani duniani hapa.
 
Chief nishauri kidogo hapa,,,,nahitaji kununua simu kati ya samsung note 4,samsung s6 na lg G4.nikimbilie ipi????
s6 ni nzuri tena sana kulinganisha na hao wawili, inatumia storage za ufs ambazo zinafanya simu iwe na speed. sema ndio battery haitoki na haina memory card.
 
Back
Top Bottom