Mbnative
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 332
- 77
habari ,
siku za hivi karibuni,nimekutana na matangazo mengi kuhusu simu tajwa hapo juu,nimeona baadhi ya watu wakisifia kama zipo poa esp phantom 6 ambayo inaonekana kama ishaingia katika soko la Tanzania.
Naomba wenye uzoefu na simu za tecno au wanaotumia simu tajwa hapo juu ,wanipe maoni yao kuhusu simu husika..
siku za hivi karibuni,nimekutana na matangazo mengi kuhusu simu tajwa hapo juu,nimeona baadhi ya watu wakisifia kama zipo poa esp phantom 6 ambayo inaonekana kama ishaingia katika soko la Tanzania.
Naomba wenye uzoefu na simu za tecno au wanaotumia simu tajwa hapo juu ,wanipe maoni yao kuhusu simu husika..