Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 752
Wadau,
Maendeleo ya teknolojia ya mawasiliano ya habari imefanya usaliti katika ndoa na mahusiano kuwa rahisi sana. Zamani ilikuwa vigumu sana kutongozana kwa kuwa ilikuwa ni lazima muonane na muwe mtaa, ofisi au sehemu moja kwa wakati huo.
Siku hizi kwa sms, BBM, facebook, twitter, emails na kadhalika, mambo yamerahishwa sana. Ndio maana hata uaminifu kwenye mahusiano umekuwa TESTED sana. Mwanamke aliyekuwa anaonekana muadilifu katika ndoa miaka ya 80 kwa kuwa tu hakuwa na jinsi ya kuwasiliana na anaotamani ku cheat nao, leo hii ata cheat tu kwa kuwa cheating iko kwenye damu yake.
Kwa hiyo yale mambo ya eti zamani kulikuwa na maadili sana sio ya kweli kivile. Ni kwa kuwa kulikuwa na kikwazo kikubwa katika mawasiliano na ndio maana hakukuwa na kasi kubwa ya CHEATING!!
Sio mtazamo wangu, huo ndio ukweli!
Maendeleo ya teknolojia ya mawasiliano ya habari imefanya usaliti katika ndoa na mahusiano kuwa rahisi sana. Zamani ilikuwa vigumu sana kutongozana kwa kuwa ilikuwa ni lazima muonane na muwe mtaa, ofisi au sehemu moja kwa wakati huo.
Siku hizi kwa sms, BBM, facebook, twitter, emails na kadhalika, mambo yamerahishwa sana. Ndio maana hata uaminifu kwenye mahusiano umekuwa TESTED sana. Mwanamke aliyekuwa anaonekana muadilifu katika ndoa miaka ya 80 kwa kuwa tu hakuwa na jinsi ya kuwasiliana na anaotamani ku cheat nao, leo hii ata cheat tu kwa kuwa cheating iko kwenye damu yake.
Kwa hiyo yale mambo ya eti zamani kulikuwa na maadili sana sio ya kweli kivile. Ni kwa kuwa kulikuwa na kikwazo kikubwa katika mawasiliano na ndio maana hakukuwa na kasi kubwa ya CHEATING!!
Sio mtazamo wangu, huo ndio ukweli!