Technique ya kwenda USA kusoma?

Nataka kujua ile technique ya kujiunga na chuo cha bei rahisi then unalipia semister moja,wanakutumia admission na I-20+letter then unaitumia ile kwenda ubalozini kwa F1-Visa,ebu nijuzeni hapa na chuo gani ni bei rahisi kulipa semister moja? Thanks
 
Kuhusu Canada hakuna Test kwa watu wenye elimu ya juu degree, advance diplomas, masters na PHD. Usikimbilia ma Agent kwanza maana unaweza kukutana na watu ambao hawaelewi mimi nashauri ufanye research mwenyewe nikirudi nitatoa more detail kwa rafiki yangu ambaye amepata hivi karibuni na nitawapa step by step process. Canada inakuja juu sana na kama umesoma ni sehemu nzuri sana maana uchumi wao unaenda juu na hawana wasomi wa kutosha.
 
Nani kakwambia hapa nimeshindwa? If you can make in here,you can make it anywhere! Kwa life ya kibongo nayoishi ingekuwa wewe ungeshatanua makwapa na kukaa kibaladhani tu,lengo langu ni ku-make more dou' kwa bongo una-hustle sana lkn hamna hela kivile,msuli ninao, kama bongo nimeweza kupata zaid ya usd13,000,how bout usa?
Sasa ikiwa Bongo umeweza kupata kazi yenye kipato kama hicho cha hapo red, unataka kwenda USA kufanya nini.
By the way, ikiwa hizo usd 13,000 ni kwa mwezi, kwa mwaka mmoja ni usd 156,000, bado huwezi kuishi bongo mpaka uende USA kubeba maboksi saa 20 kwa siku?
 
tafuta mtu mwenye benki account nene hapa bongo halafu umwambie ajifanye sponsor wako. Yaani yeye ajifanye tuu siyo kwamba anaku sponsor kweli. Ukishafika kule hela bwelele tuu wala usiwe na woga. Hamia pale California kuna wale watu wanapiga yale ma filamu ya uchi huwa wanaajiri sana watu hata ambao hawana makaratasi kama wewe. Halafu wanalipa kichizi yaani dola 3000 elfu 4000 kwa sinema moja. Lakini lazima ukubali mara moja moja kupigwa kiboga kama wewe ni dume. Zile filamu za uchi za wale wa magays ndiyo zinalipa kichizi. Yaani hata dola 10000 kwa sinema moja unalipwa. Halafu hizi filamu za gays ndiyo poa maana mtu akikuambia amekuona unapigwa kiboga basi na wewe unamuuliza na yeye kwa nini anaangalia filamu za uchi za ma gays kama na yeye siyo gay? Umeona hapo? Ukicheza filamu zake 10 au 20 basi utajilipia shule na bongo utatuma zilizobaki. Kilaiini tuu.

Hivi wewe ni mganga wa kienyeji au vp! maana ushauri wako ni kama nguvu za giza! pole sana unaonekana hujui lolote.
 
Nani kakwambia hapa nimeshindwa? If you can make in here,you can make it anywhere! Kwa life ya kibongo nayoishi ingekuwa wewe ungeshatanua makwapa na kukaa kibaladhani tu,lengo langu ni ku-make more dou' kwa bongo una-hustle sana lkn hamna hela kivile,msuli ninao, kama bongo nimeweza kupata zaid ya usd13,000,how bout usa?
Kama unatengeneza 3,000$ bongo usije States.
Ila kama unataka kupata ka-MBA chako, States is the place!, asikudanganye mtu. Nimewashuhudia form four leavers wengi tu wakichukua MBA within 6 years. Pia tupo wengi ambao tumekuja na vidigrii na vidiploma na tukalosti kwa kuendekeza starehe.
Ila shule marekani inawezekana sana! na ukimaliza hutakuwa na wasiwasi wa kuilipa GOT fedha zao.
 
sasa ikiwa bongo umeweza kupata kazi yenye kipato kama hicho cha hapo red, unataka kwenda usa kufanya nini.
By the way, ikiwa hizo usd 13,000 ni kwa mwezi, kwa mwaka mmoja ni usd 156,000, bado huwezi kuishi bongo mpaka uende usa kubeba maboksi saa 20 kwa siku?

wengine wanajitangazia unabii na kuwa watabiri wakubwa wa vifo

wengine ni watoaji mapepo na wagangaji vilema kwa hivyo usishangae kupata mshahara huo kwa mwezi
 
Hii Bado ni njia bora kwa wasomi hasa Engineers.Tatizo la Watanzania hatusaidiani kwenye maendeleo !!
 
tafuta mtu mwenye benki account nene hapa bongo halafu umwambie ajifanye sponsor wako. Yaani yeye ajifanye tuu siyo kwamba anaku sponsor kweli. Ukishafika kule hela bwelele tuu wala usiwe na woga. Hamia pale California kuna wale watu wanapiga yale ma filamu ya uchi huwa wanaajiri sana watu hata ambao hawana makaratasi kama wewe. Halafu wanalipa kichizi yaani dola 3000 elfu 4000 kwa sinema moja. Lakini lazima ukubali mara moja moja kupigwa kiboga kama wewe ni dume. Zile filamu za uchi za wale wa magays ndiyo zinalipa kichizi. Yaani hata dola 10000 kwa sinema moja unalipwa. Halafu hizi filamu za gays ndiyo poa maana mtu akikuambia amekuona unapigwa kiboga basi na wewe unamuuliza na yeye kwa nini anaangalia filamu za uchi za ma gays kama na yeye siyo gay? Umeona hapo? Ukicheza filamu zake 10 au 20 basi utajilipia shule na bongo utatuma zilizobaki. Kilaiini tuu.

sasa wewe kwa hali yako unaona hizo ni pesa nyiiingi saaana...????!!!
 
Mamamamaee walai! Unataka kutupoteze Kinkong we2 wa III
tafuta mtu mwenye benki account nene hapa bongo halafu umwambie ajifanye sponsor wako. Yaani yeye ajifanye tuu siyo kwamba anaku sponsor kweli. Ukishafika kule hela bwelele tuu wala usiwe na woga. Hamia pale California kuna wale watu wanapiga yale ma filamu ya uchi huwa wanaajiri sana watu hata ambao hawana makaratasi kama wewe. Halafu wanalipa kichizi yaani dola 3000 elfu 4000 kwa sinema moja. Lakini lazima ukubali mara moja moja kupigwa kiboga kama wewe ni dume. Zile filamu za uchi za wale wa magays ndiyo zinalipa kichizi. Yaani hata dola 10000 kwa sinema moja unalipwa. Halafu hizi filamu za gays ndiyo poa maana mtu akikuambia amekuona unapigwa kiboga basi na wewe unamuuliza na yeye kwa nini anaangalia filamu za uchi za ma gays kama na yeye siyo gay? Umeona hapo? Ukicheza filamu zake 10 au 20 basi utajilipia shule na bongo utatuma zilizobaki. Kilaiini tuu.
 
Kama ni Usa ya Arumeru wee jitome tu. On a serious note, kama shida yako ni kusoma tu ni lazima uende huko? Na kama una malengo ya kazi muda huu haukufai maana tangu 2008 Europe na USA hakufai kabisa kwetu wamatumbi.
Naomba, ufafanuzi wako,wa kina kwenye hicho usemacho

Kwa mtu anae enda kikazi
 
Nitakaza moyo ,niyashindee ,Tangaaaaa!! Binadamu hawapendi kuwaona wenzao ,wakipata maendeleo ya kimaishaa mara watasema Intelligent alifanya vile.
Wengine wata dai kuwa King Kong III Ali fanya hivi, ili mradi waharibu heshima yake na jina lake.

Binadamu tupendane, Nita kaza moyo hapa duniani, niwa shinde wafitini.

Ooh mola nilinde, ohh nisaidie.
 
Back
Top Bottom