Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Katika tembea tembea online nimekuta mkurugenzi wa NIMRI Mwele Malacela akiikana ripoti kupitia facebook na kusema kuwa ni literature review. Nilichoshangaa ni literature review gani inafanywa ikiwa na terms of reference na pia mahojiano na watu mbalimbali kama walivyoeleza kwe acknowledgment page.
Wadau wa afya, research, madawa na vitu vingine mpo wapi? Au mimi sina imani ndo maana sioni wanachoona wengine.
Msaada kwa tuta jamani ila mwenzenu uzalendo umenshinda.
pubis medicine ina matatizo sana!ndio hivi hivi wanacopy na kupaste miongozo ya utabibu bila kuangalia mazingira yetu.usije kushangaa kesho tunaambiwa watu wapewe rufaa kwenda kwa babu.