Lugovoy
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 573
- 170
Habari ya wkend wakuu?
Ninatumia simu aina ya samsung A877 AT&T
Sasa nimejiunga na hii huduma ya Dstv mobile,lakini huduma hii siipati vizuri inaonyesha hizi TV kwa shida sana inakatika mno na buffering nyingi sana sasa sijui tatizo ni mtandao uko slow au ni nini,natumia vodacom nimejaribu kununua bundle ya cheka internet ya shs 3000 kwa siku ambayo iko fast lakini bado tatizo halijaisha,naombeni msaada kwa wataalamu shida ni nini na nifanyeje kusolve hii kitu!!Nawasilisha.
Ninatumia simu aina ya samsung A877 AT&T
Sasa nimejiunga na hii huduma ya Dstv mobile,lakini huduma hii siipati vizuri inaonyesha hizi TV kwa shida sana inakatika mno na buffering nyingi sana sasa sijui tatizo ni mtandao uko slow au ni nini,natumia vodacom nimejaribu kununua bundle ya cheka internet ya shs 3000 kwa siku ambayo iko fast lakini bado tatizo halijaisha,naombeni msaada kwa wataalamu shida ni nini na nifanyeje kusolve hii kitu!!Nawasilisha.