Tcu

Kellerman

New Member
May 2, 2011
3
0
Sorry waungwana nilikuwa napenda kufahamu idadi ya vyuo ambavyo mwanafunzi anayejiunga na chuo kikuu mwaka 2011/2012 anapaswa kuchagua?
 
Ndugu, course 8, ktk vyuo tofaut ,ila chuo kmoja kisizid course 3, na wala zisiwe chini ya course 6. Kiujumla. Soma ktabu cha tcu mwanzoni.
 
Back
Top Bottom