habari za uhakika kutoka clouds fm zinasema kuwa usku wa kuamkia leo wez walivamia tcu na kuchukua baadhi ya vyombo vya kaz, walinz mpaka sasa hawana fahamu, cha kushkuru mungu ni kwamba data za watu waliofanya uadili zipo salama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.