lycan31211
Member
- Aug 13, 2012
- 13
- 3
hongera waliopata na waliokosa mckate tamaa apply mwakani Please click here to open...
hongera waliopata na waliokosa mckate tamaa apply mwakani Please click here to open...
Sidhan kama ni sahihi kudanganyana kwenye sehemu muhimu kama hii....hicho kinachosemwa hakiko coz tumejaribu sana bila mafanikio....tusitumie pressure waliyonayo wanaosubiri kuwayumbisha kimawazo
Mbona mi yangu imekubal nazawengne msiwe wabsh jaribun yan unavoeka ile user name yko kwny cas huwa inakua kama hv s0714/0163/2009 sasa uceke kama 4mat hyo eka iwe s0714.0163.2009 huu ni mfano hlf eka ur pasword yan kwny ile site ya login 4 higher student i swear 2 god ctanii