Tayar selection zimetoka kujua umepangiwa wapi,login kwenye account yako,fungua my profile then my selected prgms kila k2 kiko wazi,fanya hivyo wakuu.
Nimecheka saaana!!hivi wengine huwa mnakurupukia wapi! Huone utitiri wa post kama yako,jf waweke button ya Kwenzi