Hasson Da Melles
Member
- Aug 11, 2012
- 76
- 3
jamani Nifanyaje Nimepangiwa UDSM coz hata sijaiomba alafu Ni ya Science wakati Mimi Nilisoma Arts.. Bachelor of Engineer sijui na Makorokocho gani Asee!!!
jamani Nifanyaje Nimepangiwa UDSM coz hata sijaiomba alafu Ni ya Science wakati Mimi Nilisoma Arts.. Bachelor of Engineer sijui na Makorokocho gani Asee!!!
teh teh..huyu jamaa muongo..bachelor of engeneering na nini sasa..?
jamani nifanyaje nimepangiwa udsm coz hata sijaiomba alafu ni ya science wakati mimi nilisoma arts.. Bachelor of engineer sijui na makorokocho gani asee!!!