Sijui hawa jamaa wameshindwa kazi? Maana walitwambia mwez wa nane watatoa selection wakasogeza mbele tena had mwez wa tisa tetesi zilizopo jamaa wameshindwa wamewaashia vyuo vichague vyenyewe tatizo mda unaenda wanatuweka katika wakati mgumu mtu yoyote mwenye taarifa za tcu