MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,984
- 2,586
Wana jf naomba tujiulize swali moja la msingi sana.hawa watu wa tcu wanatoa majina ya wanafunzi waliokosa nafasi then wanaficha ya wale waliopata ambo ni wachache kuna siri gani??? Wanataka hawa waliokosa waende na ki2 kidogo then waanze kufanya re-placement??? Nani atajua mana majina wameficha!!! Huu ni usanii mwingine na mradi waliobuni kujipatia fedha haramu!! Ni jamii ya ja-iiroo wengine. Nashindwa kuelewa ni kwa vipi waweze toa majina ya waliokosa ambao ni wengi then washinde kutoa majina ya waliopata. Sikubaliani na utaratibu huu kabiasa. Ni usanii mtupu