incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,226
- 3,507
Jaman tcu mlipandisha grade ili tufeli ila bado tukachomoa one zetu na two zetu nzuri tu sasa huu ujinga wa kutunyima vyuo na kutusubilisha hivyo second round mnamaanisha nini? mi nimechoka ujinga wenu ikifka kesho kutwa kabla hamjatoa post za second round nitafanya uamzi mgum ambao hamjawahi kusikia!!!